Maneno Makuu Katika Kitabu cha Ezekieli — Watchtower ...
ZAIDI YA MARA 90. Ezekieli anaitwa “mwana wa binadamu” zaidi ya mara 90. Kwa hiyo, Yehova anamkumbusha kwamba ingawa alipata mapendeleo makubwa, yeye ni mwanadamu tuInapendeza kwamba katika masimulizi ya Injili, Yesu anaitwa “Mwana wa binadamu” mara 80, na hilo linaonyesha kwamba alikuwa mwanadamu kamili na si malaika aliyevaa mwili wa mwanadamu.—